Wajumbe wa Bodi waiangalia Chemichemi hiyo huku wakipata maelezo toka kwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja. |
Makamu mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Profesa Faustine Bee akiwa juu ya Bomba kwa lengo la kutizama kwa ukaribu Chemichemi hiyo . |
Wajumbe wakitizama Chemichemi. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...