Madaktari wakianza kumfanyia Operesheni ya tumbo kwa ajili ya kuondoa mfuko wa nyongo, mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam kwa kutumia vifaa vya kisasa ambapo mgonjwa hufanyiwa upasuaji kwa njia ya matobo.
Madaktari wakiendelea na upasuaji.
Dokta Muganyizi Kairuki akifanya upasuaji huku akiangalia kwa kutumia kamera maalum wakati wa kufanya operesheni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2014

    Hii inapendeza .....kuona kila hospitali inaingia ktk utoaji huu wa huduma......baadae itakua ni kitu cha kawaida kama ilivyo huku nje....nakumbuka hata smart kadi zilipoanza huko nyumbani ilikua dili lakini sasa ni kawaida.....polepole kama ambavyo wazungu upenda kutujoki...tutafika tu....

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 07, 2014

    Hii ni hatua kubwa na hospitali nyingine pia zijitahidi. Operation Kama hii inafanyika hospital nadhani moja tu ya Seliani Arusha. Pongezi nyingi kwa Dr Kairuki na team yake. Selina

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 07, 2014

    ipo kcmc na hata mnazi mmoja zanzibar

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...