Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda na kufanya naye mazungumzo leo. Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mazungumzo na Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda leo. .Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana mawazo na Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku moja nchini humo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku moja nchini humo.Picha na Freddy Maro
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...