Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda na kufanya naye mazungumzo leo. Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akiwa na mazungumzo na Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo  katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda leo. .Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akibadilishana mawazo  na Rais wa Angola  Mhe. Jose Eduardo Dos Santo  katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda wakati akihitimisha  ziara ya kikazi ya siku moja nchini humo.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akiagana na Rais wa Angola  Mhe. Jose Eduardo Dos Santo  katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda wakati akihitimisha  ziara ya kikazi ya siku moja nchini humo.Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...