Katibu Mkuu wa CCM, Kinana, akisalimiana na Mbunge wa Singida Magharibi, Lazaro Nyalandu, wakati wa mapokezi yake baada ya kuwasli mpakani mwa Tabora na Singida,  mwanzoni mwa ziara yake ya siku nane mkoani Singida, kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi katika mkoa wa Singida.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto), akisaidiwa na Mbunge wa Manyoni Magharibi, Paul Luanje, kuwapa mafundi bati waliokuwa wakipaua, jengo la maabara katika shule ya sekondari  Mgandu, iliyopo katika kijiji cha Kayui Manyoni Magharibi,  mwanzoni mwa ziara yake ya siku nane mkoani Singida, kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi katika mkoa wa Singida.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akifukia mti bada ya kuupanda kama kumbukumbu ya kushiriki ujenzi wa jengo hilo la  maabara katika shule ya sekondari  Mgandu, iliyopo katika kijiji cha Kayui Manyoni Magharibi,  mwanzoni mwa ziara yake ya siku nane mkoani Singida, kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi katika mkoa wa Singida, leo Mei 19, 2014. 
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa jengo la Chuo cha Ufundi- VETA, cha Jumuia ya Wazazi ya CCM, Kata ya Itagata, Manyoni,  mwanzoni mwa ziara yake ya siku nane mkoani Singida, kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi katika mkoa wa Singida. Aliyebeba tofali kumpa ni Mwenyekiti wa CCm mkoa wa Singida, Mgana 
Msindai.
 Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akikagua bwawa lililochimbwa na serikali kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji na unyweshaji mifugo katika kijiji cha Itagata, wilayani Manyoni,  mwanzoni mwa ziara yake ya siku nane mkoani Singida, kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi katika mkoa wa Singida. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na baadhi ya viongozi wa Chama mkoa huo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mkutano wa hadhara,kwenye Uwanja wa Reli, Itigi wilayani Manyoni, mwanzoni mwa ziara yake ya siku nane mkoani Singida, kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi katika mkoa wa Singida.
Katibu wa NEC, Itukadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja Relini, Itingi wilayani Manyoni Manyoni mkoani Singida.
 Wananchi wakimshangilia Kinana wakati akihutubia mkutano  hadhara kwenye Uwanja Relini, Itingi wilayani Manyoni Manyoni mkoani Singida.

PICHA NA MICHUZIJR-MANYONI SINGIDA. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2014

    Kwanini viongozi hao wanafanya kazi wasiyoijua....jack of all trades. Shule ikijengwa vibaya wao wanapaswa kulaumiwa kwa sababu wameingilia kazi za fundi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...