Katibu wa Baraza la Wawakilishi Yahya Khamis Hamad akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu shughuli za Mkutano wa 16 wa Baraza la Nane la Wawakilishi utakaoanza tarehe 14 Mei 2014 katika Ukumbi wa Baraza hilo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa gaazeti la Daly News Issa Yussuf akiuliza maswali katika mkutano na Katibu wa Baraza la Wawakilishi Yahya Khamis Hamad alipokutana na waandishi wa Habari kuzungumzia shughuli za Mkutano wa 16 wa Baraza la Nane la Wawakilishi utakaoanza tarehe 14 Mei 2014 katika Ukumbi wa Baraza hilo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...