Katibu MKuu wa CCM,Ndugu Kinana akikata utepe kuashiria uzinduzi wa wakala wa uuzaji wa matrekta kwa wanavikundi,yanayouzwa na Vijana SACCOS LTD,ya Igunga,inayojumuisha vikundi mbalimbali vya wilaya hiyo,wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali pamoja na wananchi wilayani humo,Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Igunga,Mh.Elibariki Kingu.
Ndugu Kinana akiwasha moja ya trekta mara baada ya kuuzindua uwakala wa zana za kilimo wa Vijana SACCOS LTD wilayani humo.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikagua shamba la alizeti la ekali 25
la Kikundi cha Vijana katika Kijiji cha Iborogero, wilayani Igunga,
wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama , kukagua miradi ya
maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya
uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kusikiliza kero za Wananchi.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitazama mmea wa alizeti,wakati
alipokwenda kagua shamba la alizeti la ekali 25 la Kikundi cha Vijana
katika Kijiji cha Iborogero, wilayani Igunga, wakati wa ziara ya
kuimarisha uhai wa chama , kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa
kwa kufuata Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za
Mitaa na kusikiliza kero za Wananchi.
Sehemu ya shamba la alizeti la ekali 25 la Kikundi cha Vijana katika Kijiji cha Iborogero, wilayani Igunga, wakati Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokagua wakati
wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama , kukagua miradi ya maendeleo
inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya uchaguzi
wa Serikali za Mitaa na kusikiliza kero za Wananchi.
Katibu
Mkuu wa CCM, Kinana akihututubia katika katika mkutano wa hadhara wa
CCM uliofanyika katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Igunga,
ambapo alisifu utenaji a Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu na
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo pamoja na Mkurugenzi wa
halmashauri hiyo kwa uchapakazi wao. pamoja na ubunifu wa miradi
mbalimbali ya kuwasaida vijana.
Baadhi ya Wafuasi wa chama cha CCM na Wananchi mbalimbali wakifuatilia
yaliyokuwa yakijiri kwenye uwanja wa Sokoine mjini Igunga jioni ya
leo,kwenye mkutano wa hadhara ambapo Katibu Mkutano wa CCM,Ndugu Kinana
alihutubia.
Katibu
wa Itikadi n Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano wa
hadhara wa CCM uliofanyika katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini
Igunga.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana (pichani shoto) akimpokea aliyekuwa Katibu wa chama cha CUF Wilaya ya Igunga, Michael Maganga (aliyenyoosha kadi yake ya CUF juu),
aliyeamua kukihama chama hicho na kujiunga na CCM katika mkutano huo wa
hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa Sokoine.Kinana amemaliza leo ziara yake wilayani humo kuhamia wilaya ya Nzega hapo kesho kuendelea na ziara ya siku 10 mkoani Tabora.
PICHA ZAIDI BOFYA MICHUZIJR.BLOGSPOT.COM
PICHA ZAIDI BOFYA MICHUZIJR.BLOGSPOT.COM
AMA KWELI ALIZETI NI MMEA AMA ZAO LA CCM!
ReplyDeleteNadhani hicho cha ziada ndicho kilicho mvutia Mhe. A. Kinana.
Angalieni rangi zake, maua ya rangi ya Njaro na Majani ya rangi ya Kijani!!