Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mavuno ya mahindi kutoka shambani kwake yaliyokusanywa nyumbani kwake Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda Mei 24, 2014. Mheshimiwa Pinda anatarajia kuvuna zaidi ya magunia 1000 ingawa ekari tano za mahindi hayo ziliharibiwa na Tembo kutoka hifadhi ya Katavi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
MAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MH. PINDA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera sana Mheshimiwa Pinda, wewe ni mfano wa kuiga,
ReplyDelete