Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya (wa tatu kushoto) akimsikiliza kwa makini Meneja Mkuu wa Benki ya CRDB tawi la Burundi,Bruce Mwile (kulia) wakati alipotembelea Makao Makuu ya CRDB yaliopo mjini Bujumbura,nchini Burundi.Wengine pichani toka kushoto ni Bi. Muna Mahanyu,Mkurugenzi wa Sheria EWURA,na Ndugu Elias Tamba,Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Prof. Mark Mwandosya (wa nne kushoto) na Bw.Bruce Mwile,Meneja Mkuu wa CRDB Burundi (wa nne kulia),wakiwa mbele ya jengo la Makao Makuu ya CRDB Burundi ambapo pia lipo tawi la benki hiyo la Inyereri lililofunguliwa mwaka mmoja na nusu uliopita.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Nd. Makiri Ngangaji,kutoka SUMATRA,Nd. Ngusa Izengo,Katibu wa Waziri wa Nchi,Nd.Elias Tamba,KaimuBalozi, Bi.Miriam Mahanyu,kutoka EWURA,Nd.Massawe Antony,kutoka DAWASA na Nd.Almasle Burundi,Afisa wa Itifaki.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Prof. Mark Mwandosya (wa nne kushoto) na Bw.Bruce Mwile,Meneja Mkuu wa CRDB Burundi (wa nne kulia),wakiwa mbele ya jengo la Makao Makuu ya CRDB Burundi ambapo pia lipo tawi la benki hiyo la Inyereri lililofunguliwa mwaka mmoja na nusu uliopita.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Nd. Makiri Ngangaji,kutoka SUMATRA,Nd. Ngusa Izengo,Katibu wa Waziri wa Nchi,Nd.Elias Tamba,KaimuBalozi, Bi.Miriam Mahanyu,kutoka EWURA,Nd.Massawe Antony,kutoka DAWASA na Nd.Almasle Burundi,Afisa wa Itifaki.
Hongereni sana CRDB. KEEP IT UP
ReplyDeleteCongratulations Mr. Mwile and CRDB. Go, go CRDB, go meet the South African banksbin the African plains!
ReplyDelete