Ofisa Mkuu wa Idara ya Sheria na Udhibiti, wa Vodacom Tanzania, Akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano wa Vodacom wakati walipofanya kongamano na Mkurugenzi wa Benki ya NBC Mizinga Melu, ikiwa ni sehemu ya kubadilisha uzoefu na kujengeana uwezo. Kongamano hilo lilifanyika katika makao makuu ya kampuni Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akisikiliza swali kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, …… wakati wa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika Makao makuu ya Kampuni hiyo. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wakati wa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika Makao makuu ya Kampuni hiyo. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.
Mfanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, Anni Ngondo, akichangia mada wakati wa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika makao makuu ya Kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akiwa katika picha ya Pamoja na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania mara baada ya kumalizika kwa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika makao makuu ya Kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akizungumza na Mfanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, Menbib Jemadari mara baada ya ya Vodacom Tanzania baada ya kumalizika kwa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika makao makuu ya Kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akifurahia jambo na Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania,, Menbib Jemadari mara baada ya ya Vodacom Tanzania baada ya kumalizika kwa kongamano la kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo, lililofanyika katika makao makuu ya Kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuendelea kuthamini mchango wa Mwanamke wa Kitanzania ndani ya jamii.
"Nguo yako nimeipenda fundi gani kakushonea?" MMmm wanawake!
ReplyDeleteMuendelee kujengeana uwezo role modelling na mentoring imesaidia wengi kujitambua na kujiendeleza.
ReplyDelete