Rais wa Tervuren Rotary Club Mhe. Birgit Regine Rohde akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake Brussels. Mhe Birgit alimweleza Balozi Kamala uamuzi wa Tervuren Rotary Club kumtunuku nishani ya Paul Harris Bwana Ward Lernout kama ishara ya kutambua mchango wake wa kusaidia kituo cha watu wasiokia cha Msanda kilicho Mkoa wa Kilimanjaro Tanzania. Balozi Kamala amewashukuru Tervuren Rotary Club kwa kusaidia kituo hicho na amewaomba waendelee kufanya hivyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...