Shimo hatari lililopo katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo! Ungana na Global TV Online kushuhudia tukio hilo!
Home
Unlabelled
shimo hatari barabara ya Ali hassan Mwinyi jijini Dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hahahahaha Global nanyi mmeanza kujaza maji kwenye tenga!!! wenzenu baadhi walishachoka kuripoti....juu ya mashimo yasababishwayo na kuondolewa kwa mifuniko ya chuma ktk mitaro,vipita kushoto vya dharura visivyo rasmi...nakadhalika.....haya fukuzeni upepo....watu washaziba masikio na kufumba macho kitaambo......wamejikita ktk mambo ambayo wao wanaona ya msingi sana kuwauliza wananchi wanataka ngapi......
ReplyDelete