Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza,Mhandisi Warioba Sanya, akifungua semina ya Mamlaka ya Uthibiti wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii Nchini (SSRA) inayoendeshwa kwa Wananchi wa Jiji la Mwanza juu ya umuhimu wa Wananchi kujiunga na Mifuko ya Hifadhi za Jamii hapa nchini.Semina hiyo imefanyika hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
  Sehemu ya Wajumbe wa Semina hiyo wakifatilia mambo mbali mbali.
Picha ya Pamoja baada ya Kufumguliwa na Semia hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...