HOTEL VICTORIA MTWARA INATAFUTA MTAALAMU WA MASOKO MWENYE UZOEFU WA KUTOSHA NA ANAEJIAMINI  KISHA TUMA MAOMBI KWA EMAIL HII issa@hotelvictoria.me AMBATANISHA CV YAKO NA PASSPORT SIZE. MSHAHARA MZURI SANA NA MNONO PAMOJA NA MAZINGIRA HURU YA KAZI. MWAMBIE RAFIKI NA NDUGU WACHANGAMKIE FURSA. CHEERS
 
PIA UKIWA HOTEL VICTORIA MTWARA UNAWEZA KUENJOY HAYA....
 

Butter chicken na garlic naan

 
Paneer masala na butter naan


Tandoor chicken
 

 
Naan bread ya kila ladha mfano chili naan, garlic naan, butter naan, cheese naan na plain naan

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2014

    Misosi kama hii huwa na kula kwenye Restaurant za wahindi marekani. Mwalimu wa Issa inawezekana alikuwa ni mdosi

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 17, 2014

    Kwanini unapika Naan na sio CHAPATI halisi za kibongo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...