MDAU ALBERT MUCHURUZA NA BI EVODIA ERASTO  WAKILA POZI BAADA YA KUMEREMETA KATIKA KANISA LA RC NDANI YA MANISPAA YA BUKOBA NA KUFUATIWA NA MNUSO WA NGUVU  KATIKA
UKUMBI WA LINAS NIGH CLUB MJINI BUKOBA
Wapambe wa Bi Harusi wakipozi  wakiwa wamembeba bwana harusi  kuonesha furaha yao
Wapambe wa Bw Harusi wakiwa wamembeba bi harusi
Kutoka kulia ni Mheshimiwa Mr Muchuruza baba mzazi wa bwana harusi akiwa sambamba na mke wake bi Rose Muchuruza wakichukua picha ya pamoja na maharusi. Picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 28, 2014

    wAHAYA NIMEWAPENDA BURE! TUMEZOEA HARUSI NYINGI NI MWANAMKE TU NDIO HUNYANYULIWA NA KUONEKANA KAMA LULU HUKU MWANAMUME AKIACHWA ANATAZAMA. SAFARI HII WADADA WA KIHAYA WAMEONESHA KWAMBA HATA WAO WANAWAJALI WANAUME. BIG UP SANA.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2014

    nikugambiree enough mbele ya my wife..chezea haya wewe..lol

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...