Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akishiriki katika Mkutano wa tano wa wa Nchi za Jumui ya Afrika Mashariki wa tano wa ushirikiano wa miradi ya maendeleo ya ukanda wa kaskzin (5th Summit of the Northern Corridor Intergration Projects)Uliofanyika kwenye hoteli ya Safari Park mjini Nairobi Mai 2, 2014.Viongozi waliohudhria mkutano huo ni Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto, Makamu wa Rais wa Burundi, Rais wa Rwanda Paul Kagame, Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Rais wa Uganda Yoweri Museveni.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika ya Mashariki katika mkutano wao wa tano wa ushirikiano wa Maendeleo wa miradi ya maendeleo wa ukanda wa Kaskazini (5th Summit of the Northern Corridor Intergration Projects) uliofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Safari Park, Nairobi May 2/2014. Alimwakilisha Rais Jakya Kikwete katika mkutano huo. Viongozi hao kutoka kushoto ni Makamu wa Rais wa Kenya William Samoei Ruto, Makamu wa Rais wa Burundi, Rais wa Rwanda Paul Kagame, Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Rais wa Uganda Yoweri Museveni.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Rais wa Kenya ,Uhuru Kenyatta katika mkutano wao wa tano wa ushirikiano wa Maendeleo wa miradi ya maendeleo wa ukanda wa Kaskazini (5th Summit of the Northern Corridor Intergration Projects) uliofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Safari Park, Nairobi May 2/2014. Alimwakilisha Rais Jakya Kikwete katika mkutano huo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2014

    Mmoja akihudhuria mwengine hatokei.....mwengine akitokea mmoja ahudhurii......

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 03, 2014

    Safi sana JK.

    David V

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2014

    huu sasa ni upuuzi. tunaenda kufanya nini kwenye vikao ambavyo havituhusu? huyu uhuru kenyatta si alikuwepo hapa tanzania kwanini hawakuyazungumza haya wanakwenda kuyazungumzia nairobi? watanzania tusikubali kufanywa mazuzu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2014

    Umeona eeeh Anonymous wa kwanza umepatia kweli! Kuna kazi hapo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 05, 2014

    Tumewakilishwa kwani mara ya kwanza kuwakilishwa kwenye mikutano mbali mbali?

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 05, 2014

    wENGINE WANAENDA WAWILI WAWILI, WENGINE WANATUMA WAWAKILISHI, WENGINE WANAENDA DECISION MAKERS!! HAPO UTAJUA NANI YUKO SERIOUS NA EAC!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...