Mratibu wa Mac D Promotions, waandaaji wa mashindano ya Nice & Lovely Miss Tanga 2014, Benson Jackson akiongea na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari katika hoteli ya Mkonge jijini Tanga, ambapo amesema mpaka sasa jumla ya washiriki 19 wamechukua na kurudisha fomu za kushiriki shindano hilo linalosubiriwa kwa hamu kubwa na wakazi wa jiji la Tanga, shindano ambalo litafanyika jumamosi ya tarehe 21/ 06/ 2014 Mkonge Hotel.
Gari aina ya Toyota Vitz atakalokabidhiwa mshindi wa shindano hilo la Nice & Lovely Miss Tanga 2014 likiwa katika bustani ya Mkonge Hotel jijini Tanga. Shindano hilo limedhaminiwa na Nice & Lovely, EATV, Redd's, Tanga Beach Resort, Breeze Fm, CXC Africa, Rweyunga Blog na Mwambao Fm.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...