Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (ACP) akimkabidhi zawadi Balozi wa Togo Jumuiya ya Ulaya Balozi Kodjo Sagbo kwa niaba ya Kamati ya Mabalozi wa ACP. Balozi wa Togo amemaliza kipindi chake cha kuwakilisha nchi yake Jumuiya ya Ulaya.
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa kwanza kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Malawi Jumuiya ya Ulaya Brave Ndisale (wa tatu kutoka kulia) aliyemaliza muda  wa kukilisha nchi yake Jumuiya ya Ulaya na Balozi na wanne kutoka kulia ni Balozi wa Togo Jumuiya ya Ulaya Balozi Kodjo Sagbo aliyemaliza muda wa kuwakilisha nchi yake Jumuiya ya Ulaya. Wa kwanza kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa ACP Alhaji Muhammad Mumuni na wa pili kutoka kulia ni Balozi wa Guyana Jumuiya ya Ulaya Balozi Patric Gomes.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...