Balozi wa Brazili Tanzania Mhe. Francisco Carlos na Mkewe wakisheherekea uzinduzi wa Kombe la Dunia ambalo limeanza usiku wa kuamkia leo. Balozi huyo aliandaa tafrija katika hoteli ya Serena ambapo Wabrazili waishio Tanzania walishiriki pamoja na marafiki mbalimbali 
 Balozi wa Brazili hapa Tanzania Bw Frcisco Carlos akibadilishana mawazo na Rosalie Lehel kutoka IFAD ambaye alikuwa miongoni mwawageni walio alikwa katika kusheherekea uzinduzi wa kombe la dunia ambao linafanyika nchini Brazil
Wananchi wa Brazili waliopo Tanzania wakisheherekea kuanza kwa michuoano ya kombe la Dunia ilioanza jana nchini Brazili. Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...