Bi
Farida Abdul Akikabidhi bandeji kwa ajili ya kufungia wagonjwa kwa
Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle
Bi
Farida Abdul akimuonyesha kaimu Mganga mkuu wa Hospitali ya Palestina
Dk Hugoline Mselle Vifaa ambavyo vimeletwa kama msaada kwenye Hospitali
hiyo.Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na Viti vya magurudumu vitatu ambavyo
vitasaidia kubebea wagonjwa,Bandeji za kufungia vidonda,Ndoo za kuwekea
taka,na vinginevyo.
Hivi
ni viti Vitatu vya kubebea wagonjwa ambavyo vilitolewa kama msaada
kwenye Hospitali ya Palestina(sinza) na Farida Foundation.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...