Kisha safari ya kwenda Kituoni ikaanza.
Ghafla Mkude baada ya kuona kamera ya globu ya jamii inammulika alimuamuru askari mwenzake kuikamata ,alakini hata hivyo askari yule alifahamu kuwa Globu ya jamii pia iko kazini kama walivyo wao.
Mzobe mzobe ukaendelea kupita katikati ya kituo kikuu cha mabasi huku mbinje za kutosha toka kwa wakatisha tiketi na wapiga debe zikirindima.
Askari Polisi.Mkude akafanikiwa kuwatia mikononi askari wa manispaa ya Moshi wanaoshughulika na mazingira hadi kituoni.Globu ya jamii ilifika hadi kituoni licha ya kwamba asakri wa kata aliyekuwa amevalia sare kudai kuwa yeye aliwasamehe lakini Mkude akiwa kituoni alisimamia msimamo wa kufunguliwa kwa kesi dhidi ya sakari hao.Hata hivyo baadae raia wa kigeni alionekana katika eneo la stendi akiranda randa.Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.

PICHA ZAIDI YA TUKIO HILI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...