Katibu Mkuu Kionmgozi (Mstaafu), Philemon Luhanjo (Wapili kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayigu(Wapili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, (TPB), Sabasaba Moshingi), Wakwanza kulia) na Mstaafu Eunice Temu, wakiwa wamenyanyua juu mikono kuashiria uzinduzi wa mpango wa mfuko huo kuwakopesha wastaafu amabao ni wanachama wake kupitia benki ya Posta "Wastaafu Loan",. Hafla ya uzinduzi huo ulifantyika jijini Dar es Salaam jana.
Katibu Mkuu Kiongozi (Mstaafu), Philemon Luhanjo, ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo, akitoa hotuba yake. 
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba kuelezea huduma hiyo mpya ya "Wastaafu Loan"
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi, akitoa hotuba yake.  
Katibu Mkuu Kiongozi (Mstaafu), Philemon Luhanjo (Kulia), akiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu (Kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, mara baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa huduma ya "Wastaafu Loan" jijini Dar es Salaam Juni 20, 2014.
Msanii Mrisho Mpoto naye alikuwepo.
Baadhi ya maafisa wa benki ya posta Tanzania (TPB) na wenzao wa PSPF, wakifuatilia magtukio yaliyokuwa yakitokea kwenye uzinduzi huo.
Mstaafu na Mwanachama wa PSPF, Eunice Temu, akitoa hotuba ya shukrani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...