Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimkaribisha kwa furaha, Balozi wa
Uingereza hapa nchini, Dianna Melrose, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu
ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam,June 9, 2014.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Balozi huyo wa Uingereza hapa
nchini, Dianna Melrose, wakipena mikono kabla ya kuanza mazungumzo yao,
katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam,
June 9, 2014.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Balozi wa Uingereza
hapa nchini, Dianna Melrose, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,
Lumumba, jijini Dar es Salaam, June 9, 2014.
Picha zote na Bashir Nkoromo - CCM Blog.
Picha zote na Bashir Nkoromo - CCM Blog.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...