Kama umependa KITAA wear
Niibox ili nijue vitu vifuatavyo
1. Namba ya Simu
2. Wapi Ulipo, kama upo Dar utaletewa ulipo ukiishalipia
mkoani tutatuma kwa njia ambayo kwako ni rahisi kukufikia
3. Aina ya T-Shirt , kwenye advert nimeweka number chagua number ya
tshirt uliyoipenda
4. Size
5.Price 20,000/=
Payments through Mpesa 0754310202
NB: Ukinunua kuanzia T-Shirt 5 bei ni 18,000/= T-Shs
Pia gharama za kutuma mzigo mkoani ni za mteja
Dar es salaam napatikana jengo la science na technology (Kijitonyama)
Aksanteni sana
For more information visit my blog www.kitaawear.blogspot.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...