MZEE LYSON MANALA MWAKAPENDA
Umetimiza Mwaka mmoja tangu ulipotwaliwa tarehe 3 Juni, 2014, ni siku ambayo hatutoisahau katika maisha yetu, Kimwili hauko nasi lakini Kiroho uko pamoja nasi, Mapenzi ya Mungu yatimizwe. 
Unakumbukwa sana na mkeo mpenzi Atuganile, watoto wako Alice, Nicholaus, Maria, Fanney, Mercy, Rose na Bertha, mama yako mzazi (Alice) dada zako, wakwe zako (Dr. Alfred Laison, Crispin, Moses, Dr. Felix na Halima), wajukuu zako, ukoo wa Mwakapenda, Mwenisongole na Mwampashi, ndugu, jamaa na marafiki. 
Tutakukumbuka daima kwa ucheshi wako na mafundisho yote uliyotuachia. Mungu ailaze Roho Yako Mahali Pema Peponi. Amina. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 03, 2014

    maria poleni sana,and RIP mwakapenda
    maruma uk

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...