Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. MASHA ALLAH! Kweli hawa wawili wapendanao toka enzi hizo katika fani yao hii ya Sanaa, basi kama ni kipaji Masha Allah, si haba wamejaaliwa. Binafsi huvutiwa sana kwanza kwa lafdhi yao nzuri na kiswahili fasaha wanachozungumza, hwishi hamu ya kuwaskiliza. Ama na uwe pole mpendwa wetu Bi Chau kwa kuondokewa na mwigizaji na msanii mwenzio wa enzi na enzi, laazizi wako katika fani ya uigizaji, Mzee Small. Hawa ndio wasanii asilia wa kuwaenzi na kuwajali kwa kila hali, khususan kwa mchango wao mkubwa katika kazi zao za sanaa nchini. Na katu siyo uungwana kuwapuuza, kutowajali na kuwasahau katika uhai wao na kuanza kuwakumbuka baada yakei. Tujifunze kutokana na makosa.

    Mwenyeez Mungu akughufirie kwa yote, akunusuru adhabuze na akupumzishe palipo pema peponi Mzee Wetu Bw. Said Ngamba alwatan 'Mzee Small' - AMEEN.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...