Mdau Kazikupenda Kk Chale anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Bi.Fides Chale (pichanii) kilichotokeo ghafla leo huko Nyumbani kwake Ubungo Msewe.
Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwa mwanae, Ubungo-Msewe, Dar. Maziko yanatarajia kufanyika Dar. Taarifa zaidi zitotelewa baadae.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa 
jina la Bwana Lihimidiwe - Amen

KK anaendesha blog ya Tembea Tanzania BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 02, 2014

    Mungu akupe nguvu katika wakati huu mgumu na amlaze marehemu mahala pema...kumbukumbu zangu zinanipeleka mbali nikiwa sekondari kama huyu mama nilikuwa nikimuona wakati wa mitihani ya taifa ikisambazwa mashuleni....hiyo ni miaka ya themanini huko...

    ReplyDelete
  2. Annony wa kwanza, ni kweli kabisa. Mama alikuwa ni mtumishi wa baraza la mitihani kwa muda mrefu akiwa kama mkuu wa kitengo cha usimamizi wa mitihani - Exam Adminiatration. Alistaafu 1996 na kujikita kwenye NGOs.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 03, 2014

    OOOOh jamani ni jumamosi tu umetoka kuzika mjomba wako marehemu mzee A. Mwingira na sasa hivi mama, mwenyezi mungu aiweke roho ya marehu mahali pema peponi Amen, poleni sana wafiwa, poleni sana familia yote ya MWINGIRA, Pole sana Dr Upendo Mwingira Ndalama na pole sana KK na familia yote


    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 03, 2014

    RIP Mama Chale, poleni sana familia ya Chale na Mwingira

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 03, 2014

    Pole sana KK
    Naomba tuwasiliane 0688 078178 REPOA

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 03, 2014

    KK pole sana na msiba wa mama. Mungu akujaalie nguvu na ustahamilivu. Mungu ampokee Mama katika ufalme wake. Amen

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...