Mbunge wa Namtumbo Mhe Vita Kawawa akisalimiana na  wajumbe 92  kutoka  jimbo la Ludewa  ambao ni  wenyeviti kata na makatibu kata kutoka kata  zote 25  za  jimbo la  Ludewa 
Sehemu ya  wajumbe 92  kutoka  jimbo la Ludewa  ambao ni  wenyeviti kata na makatibu kata kutoka kata  zote 25  za  jimbo la  Ludewa 
Waziri mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na  wajumbe 92  kutoka  jimbo la Ludewa  ambao ni  wenyeviti kata na makatibu kata kutoka kata  zote 25  za  jimbo la  Ludewa 
Waziri mkuu Pinda akisalimiana  na wageni  kutoka jimbo la  Ludewa kwa mbunge Mhe. Deo Filikunjombe  waliotembelea  bungeni. kulia ni mbunge Filikunjombe
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 14, 2014

    Hope nauli na gharama za kuendea Dodoma wamejichangisha na siyo kutokakwenye kodi zetu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...