Mdau Ruger Kahwa ambaye in mkuu wa ofisi ya umoja wa mataifa inayoshughulikia uratibu wa majanga na misaada ya kibinadamu nchini Papua New Guinea akitia saini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Malaysia nchini Papua New Guinea kufuatia kifo cha Sultan of Perak, His Royal Highness Sultan Azlan Muhibbuddin Shan Ibni Almarhum Sultan Yussuff Izzuddin Shan Ghafarullahu-Lah kilichotea Malaysia 28 May 2014.His Royal Highness served as the ninth King of Malaysia from 1989 -1994.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...