Watu waliofika katika banda la Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), wakimsikiliza Ofisa Masoko na Uhusiano wa Mfuko huo, Rahim Mwanga wakati wa Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma.

Ofisa Mafuzo wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Hilder Lyimo akitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliohudhuria Monesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo.
Elimu kuhusu mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji ilitolewa kwa watu waliofika katika banda la UTT.
Nadhani umeelewa.......Ofisa Masoko na Uhusiano wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Rahim Mwanga akitoa ufafanuzi kwa watu waliofika katika banda lao.
Ofisa Masoko Mwandamizi na Uhusiano Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Martha Mashiku akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...