Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akifungua kibambaa kuashiria uzinduzi wa bwawa kubwa la maji la Leken katika kata ya Seleli wilayani Monduli leo Ijumaa Juni 06,2014.Bwawa hilo ambalo limegharimu kiasi Cha shilingi bilioni moja unusu, lina ukubwa wa kilomita tatu.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akizungumza mara baada ya kufungua Bwawa hilo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa na Mkewe Mama Regina Lowassa akikagua eneo la bwawa hilo huku akiongozana na viongozi wa wilaya hiyo.
picha ya bwawa wapi????
ReplyDelete