Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, Anthony Mtaka  ( kulia) akimwonesha Mhariri Mtendaji  wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN), Bw. Gabriel Nderumaki ,aina ya ufuta naozaa kwa wingi wakati alipotemtembeza  kuona Mradi wa Kilimo wa Mkuu wa Wilaya hiyo, lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 100  linalojumuisha kilimo cha mahindi , Ufuta na ufugaji wa samaki , katika Kijiji cha Lubungo, wilayani humo.
 Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN), Gabriel Nderumaki ,( kushoto) akimuuliza jambo  Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, Anthony Mtaka , wakati alipomtembelea kuona Mradi wa Kilimo wa Shamba la Mkuu wa Wilaya huyo
 Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, Anthony Mtaka  ( kushoto) akimwongoza Mhariri Mtendaji  wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN), Gabriel Nderumaki , ndani ya shamba  lake la ufuta
 Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, Anthony Mtaka  akimwonesha Mhariri Mtendaji  wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN), Gabriel Nderumaki , aina ya mahindi yanayozaa na kukomaa kwa miezi michache
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, Anthony Mtaka  ( kushoto) akiwa na Mhariri Mtendaji  wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN), Gabriel Nderumaki kwenye bwawa la kufugia samaki shambani kwake. Picha na John Nditi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2014

    Hongera mkuu wa wilaya kwa kuonyesha mfano wa kuigwa

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2014

    Nashukuru Kuona Mkuu wa Wilaya anahusika kwenye kilimo. Ila namwomba awasaidie wakulima wa Mvumero kumiliki ardhi maana kama yeye anazo 100 badi asitubane sisi wenye 10

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...