Kaimu
Meneja wa Mafao ya Matibabu Dk. Lucy Simbila
akizungumza kabla ya Kumkaribisha Mgeni Rasmi Kaimu Mganga Mkuu Mkoa wa
Geita
Dk. Ndinisyu Daniel (kushoto) kufungua zoezi hilo. Wengine ni Dr. Ali
Mzige (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Bw.Shaban Mpendu, Meneja wa NSSF
Mkoa wa Geita
na Mwisho ni Regional Aids Control Cordinator (RACC), Elisande Shumbi.

wakazi wa Geita wakiwa wamejitokeza kwa wingi kupima Afya zao.
Meneja
wa
NSSF GEITA, Bw. Shaban Mpendu akimsikiliza kwa makini Dr. All MZIGE
akimuelezea mgeni rasmi kaimu mganga mkuu wa Geita DR.Ndinsyu Daniel
zoezi la upimaji sukari
kwenye moja ya banda la upimaji afya.
Meneja NSSF Geita bwana Shaban Mpendu akimuongoza mgeni Rasmi
Kaimu Mganga Mkuu wa Geita DR. Ndinisyu
Daniel kutembelea mabanda ya upimaji afya.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...