Madereva hao walionekana kukerekwa na kuzuiwa kumuadhibu kijana huyo na hapa walionekana wakilalamka. |
Jamaa wa nje akatamani kupita katikati ya Nondo hapa. |
Geti likafungwa na hakuna mtu aliyepita.Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini. |
Kwa polisi - Kazi nzuri. You serve and protect. Wenye mali wana haki lakini mtuhumiwa pia ana haki. Remember the presumption of innocence and until proven guilty - by a competent court of Law - not by an angry biased mob.
ReplyDeleteIn this occassion I give a big up to the Moshi police!