Msanii Nguza Viking (kulia) na Mwanae Jonson Nguza Maarufu kwa jina la Papii Kocha ambao wanatumikia Kifungo chao kwenye Gereza la Ukonga jijini Dar,wakiwa na Bendi ya Wafungwa wakiimba Wimbo Maalum kuhusu Urekebishaji wa Wafungwa unavyofanyika Magerezani,Wanamuziki hao walitumbuiza katika Maadhimisho ya Magereza Day yaliyofanyika Juni 20, 2014 katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa Magereza Ukonga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2014

    Taken lives

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 21, 2014

    Mna moyo! 'No kinyongo...'

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 22, 2014

    poleni sana

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 22, 2014

    hii inapendeza kwa kiasi fulani angalau kwamba kipaji cha mtu kinajaliwa mimi nadhani magereza wanatakiwa kuvitumia vipaji zaidi vya wafungwa ambao wanao; huko kuna wahadhiri, madaktari, watafiti etc vitumike hivi vipaji badala ya kuvipoteza moja kwa moja

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...