Ufaransa wamefanikiwa kuingia robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Nigeria katika mtanange mgumu mno katika uwanja wa Taifa wa, kufuatia bao safi la kichwa la Paul Pgba na bao la kujifungwa wenyewe la Joseph Yobo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...