Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP,Robert Boaz akitoa dawa za kulevya katika mikoba ya kike ambayo imekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP,Robert Boaz akiwaonesha waandishi wa habari(hawako pichani)moja ya mikoba iliyotumika kufichia dawa za kulevya kwa ustadi mkubwa.
Dawa za Kulevya ambazo hazijafahamika ni aina gani zikiwa katika mifuko maalumu.
Baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro wakimsikiliza kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro wakati akitoa taarifa  juu ya kukamatwa kwa dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro KIA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2014

    Kazi nzuri polisi ya kupambana na madawa ya kulevya. Madawa haya yanaharibu maisha ya watanzania wengi walioathirika na wale wenye ndugu ambao wameathirika.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 27, 2014

    wATANZANIA TUMIENI uBUNIFU NA aKILI KUPATA fEDHA NA uTAJIRI!!!

    Je wageni wanao ingia TZ na kuwa matajiri nao wanauza ama kusafirisha unga?

    Fursa nyingi sana tumezikalia hapa nchini na sio kufanikiwa ni lazima uwe Jambazi, utumie Uchawi kufanikiwa kimaisha ama uuze na kusafirisha Unga!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 27, 2014

    Mtakamatwa na kufungwa sana Watanzania kabla hamjagundua siri ya kufanikiwa kimaisha badala ya kuwa na akili finyu za kusafirisha na kuuza unga!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...