Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli(wa pili kulia) na mpishi wa bia wa Kampuni ya Bia nchini Tanzania(TBL) Cavin Nkya(wa pili kushoto) wakiwa wameshikilia tuzo zao za ubora wa kimataifa(International Quality Trophy) za Ndovu Special malt na Safari Lager walizoshinda hivi karibuni nchini Ufaransa kutoka kwenye Taasisi ya kimataifa ya Monde Selection.
Meneja wab Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli akiwa ameshikilia chupa ya bia yake iliyoshinda tuzo ya Ubora wa Kimataifa(International Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection.
Meneja wab Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli akiwa ameshikilia tuzo ya ubora wa kimataifa(International Quality Trophy) na cheti mara baada ya kukabidhiwa na Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection.
Mpishi wa bia wa Kampuni ya bia nchini Tanzania(TBL), Cavin Nkya akiwa ameshikilia chupa ya bia ya Ndovu Special Malt iliyoshinda tuzo ya Ubora wa Kimataifa(International Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection.
Mpishi wa bia wa Kampuni ya bia nchini Tanzania(TBL), Cavin Nkya akiwa ameshikilia tuzo ya ubora wa kimataifa(International Quality Trophy) mara baada ya kukabidhiwa na Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection.
Meneja wab Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo(kulia) na Mpishi wa bia wa Kampuni ya bia nchini Tanzania(TBL), Cavin Nkya wakiwa wameshikilia chupa za Safari Lager iliyoshinda tuzo ya Ubora wa Kimataifa(International Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...