Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta
Binafsi Tanzania (TPSF), Dk. Reginald Mengi (kushoto) akielezea jambo kwa
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Prof.
Lucian Msambichaka (katikati) na Mkurugenzi Mstaafu wa TIC na pia Balozi wa
heshima wa Botswana hapa nchini, Eng. Emmanuel Ole Naiko wakati wa kongamano la
pili la biashara kati ya Tanzania na China lililomalizika hivi karibuni jijini
Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
Sekta binafsi yakaribisha wawekezaji wa China
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...