TAHADHARI 
Hii ni taarifa kwa umma kwa ujumla kwamba mtu au kikundi cha watu wasiojulikana na wasiokuwa waaminifu wametengeneza au kuingia kwa jinai kwenye anuani yangu ya facebook na Twiter (TWITA) kuanzia tarehe 6 Juni 2014 kupelekea mimi kushindwa kufanya chochote ikiwamo kuandika au kuposti kitu chochote tokea tarehe 7 Juni 2014. Kwa taarifa hii ijulikane kuwa posti zote toka tarehe 7 June 2014 sio zangu au sihusiki nazo.
Kwamba watu hao wanaojifanya ni mimi wanatumia maneno au jina "Jerry Silaa" na kujifanya kusapoti harakati za VIKOBA na wanaalika watu kujiunga na VIKOBA kwenye au kwa njia ya mtandao wa simu na intaneti . 

Mimi sihusiki na madai hayo ya kitapeli na ya uongo kwa namna yoyote  na wala sijamualika mtu yoyote kujiunga na VIKOBA kwenye mtandao kama inavyoenezwa na hao matapeli  ieleweke kuwa vikoba kama jumuia za kijamii zina taratibu zake za kujiunga na ofisi zilizosajiliwa na taasisi husika na zinazoeleweka hivyo ye yote atakaye kujiunga na VIKOBA lazima kufanya hivyo kwa kufuata taratibu zilizowekwa ambapo ni pamoja na kutembelea ofisi rasmi ili kusajiliwa na sio kwenye mtandao.
Wasalaam,
Jerry Silaa
================

KWA KIMOMBO 

Announcement
This is to inform the General Public that some unscrupulous person or persons have created an account for facebook that bear the words or name “Jerry Silaa” or the same person or persons have hacked my facebook account and proceeded to post an invitation or solicitation or promotion of “VICOBA” online.
I am disassociating myself with this malicious claims and solicitation and I have not invited anyone on line to join any VICOBA as advertised and therefore all people should beware of this malicious spread of news and whoever wishes to join a VICOBA should do so by following a laid out procedures which includes visiting the official registered offices.
Regards,
Jerry Silaa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...