Ndugu,Jamaa na Marafiki ,

Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi.
 
Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.

Tutakuwa na Memorial Service,maombi  na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm) nyumbani kwa EliBariki -Rogers Minnesota.

Anwani: 22820 Gardner Avenue,Rogers,MN 55374.

Bwana Alitoa,na Bwana Ametwaa,Jina la Bwana Libarikiwe !

 Kwa niaba ya Kamati,

Gracious Msuya,
Mwenyekiti.
Tel:763-439-5626.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2014

    Poleni sana wafiwa. Jamani, je, huyu ni Robert Mshomi niliyesoma naye Ilboru miaka ya tisini? Kama ndiye, nitamkumbuka kwa ucheshi wake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...