Tunasikitika kutangaza kifo cha Pamela Sima Ruhago (pichani) kilichotokea jijini Dar es salaam jana tarehe sita June, 2014.

 Maombelezo yanaendelea Mbweni nyumbani kwa Mama yake, Eva Ruhago.Mtaa wa MICA.

  Ibada ya mazishi itafanyika kesho tarehe 08 June, 2014 TISA KAMILI  mchana katika kanisa la KKKT BOCCO - Mbweni na  Mazishi yatafanyika MARA BAADA YA IBADA NA KUAGA katika makaburi ya Bahari beach kwa  Kondo kuanzia saa kumi jioni.

Bwana  ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. 
Roho ya marehemu Pamela Sima Ruhago ipumzike amani 
Amin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2014

    Pumzika kwa amani Pamela! Mungu amekupenda zaidi!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 09, 2014

    So sad so young RIP

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 09, 2014

    Rest in peace my cousin-Robert

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...