Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Maswali ya Papo kwa papo bungeni mjini Dodoma leo Juni 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na viongozi wa vijiji na kata kutoka jimbo la Ludewa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Sarah Kasui, mwanafunzi wa Kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Sejeli mkoani Dodoma kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge Nyambali Nyangwine wa Tarime (katikati) na na Saidi Mtanda wa Mchinga kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum,Lucy Mayenga (kushoto) na Mbunge wa Mchinga Saidi Mtanda kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mstaafu, Edward Lowassa akiwa katika picha ya pamoja na madiwani kutoka jimbo la Busanda, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. Wapili kulia ni Mbunge wa jimbo hilo, Lolesia Bukwimba.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na madiwani kutoka jimbo la Busanda, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 12, 2014. Wapili kulia ni Mbunge wa jimbo hilo, Lolesia Bukwimba.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na madiwani wa jimbo la Busanda kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 12, 2014. Kulia ni mbunge wao Lolesia Bukwimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...