Wadau ndani ya Tamasha la Nyama Choma,toka kulia ni Dimo Dibwe,Carol Ndossi (Muandaaji wa Tamasha hilo la Nyama Choma) pamoja na Mdau Edwin MacTemba.
 Nyama ikiendelea kuiva jikoni huku walaji wakiendelea kuimezea Mate. 
 Mtaalam wa kuchoma nyama toka jamii ya Kimasai akitest mzigo kama uko poa.
 Wadau wakiendele kutafuna nyama huku zingine zikiendelea kuiva taratibu.
 Maandalizi ya Nyama yakiendelea.
 Mshkaki maridadi kabisa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 08, 2014

    kwa hali ilivyo usishangae kusikia katika hizo nyama na mbuzi wa kichina nao wlikuwemo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 08, 2014

    Naona hata wenye vitambi na uzito ulio vuka mipaka hawapo nyuma

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...