Waziri wa Nchi wa Mazingira wa Uganda, Flavia Namugere (katikati) akiwakabidhi tuzo ya ushindi wa jumla ya RECP Afrika Mashariki ya usimamizi bora wa matumizi ya maji na nishati kwa Mhandisi wa Huduma za Kiufundi wa Kiwanda cha Mwanza cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sunday Kidolezi (kushoto), na Mhandisi wa Mitambo wa kiwanda hicho, Erick Ernest ambayo kampuni hiyo ilituzwa katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Entebe, Uganda.
Tanzania Deputy Permanent Secretary for Environment in the Vice President’s Office (Left) presenting one of the three Resource Efficient & Cleaner Production (RECP) awards won by TBL Mwanza Plant to TBL Mwanza Plant Process Engineer, Erick Ernest (center) and TBL Mwanza Plant Utilities Engineer, Sunday Kidolezi (Right)
TBL Mwanza Plant Utilities Engineer , Sunday Kidolezi (Left) and TBL Mwanza Plant Process Engineer, Erick Ernest (right) showing off all three regional awards they won on Resource Efficiency & Cleaner Production at the dinner gala awards ceremony at the Imperial Botanical Resort Beach hotel in Entebbe , Uganda earlier this month.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...