Mwenyekiti wa soko la Makumbusho, Bi Mary John (kulia), akiongea na Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Kinondoni, SP Awadhi  Haji (kati), na Mkuu wa Usalama Barabarani, Kituo cha Kinondoni, Solomon Mwangamilo (kushoto).
  Huduma ya usafiri ikiendelea kama kawaida eneo la Makumbusho
 Stendi ya Makumbusho kabla haijaanza kutumika.
  Muonekano mpya wa kituo cha Mwenge baada ya kuhamishwa.
Picha na GPL

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 03, 2014

    Kwahiyo wale wanaoishi mwenge.....wataishia au kuelekea makumbusho kwa kukanyaga sio???au bajaji??? ila si mbaya ndio iwavyo tunapojaribu kuboresha maisha kuna kupitia adha kidogo kisha inakaa sawa....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...