Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiongozana na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiongozana na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Capt.George Mkuchika.
Waziri Mkuu, Mizego Pinda akizungumza na Makamu wa Rais wa China , Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. Kulia ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Rais, Utawala Bora, Capt. George Mkuchika. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...