Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza akifanya mazungumzo na Balozi
wa Uingereza nchini, Bibi Dianna Melrose. Balozi huyo alimtembleza Waziri Chiza ofisini
kwake kwa lengo la kuimarisha mahusiano kati ya nchi hizo mbili yenye lengo la kukuza
Sekta ya Kilimohususan kwenye eneo la uwekezaji katika mashamba makubwa(Picha na Issa
Sabuni, WKCU).
Home
Unlabelled
WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHE. CHIZA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI, MS. DIANNA MELROSE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...