Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano Mallya (kulia) akikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali vyenye thamani ya milioni 5/- kwa wawakilishi wa kituo cha kulelea watoto waliokatika mazingira magumu cha Irishad Madrasah cha Mbezi kwa Msuguri (kutoka kushoto), Mkurugenzi wa Kituo, Ustadhi Maulid Salim Kidebe, Ayoub Idrissa na Ramadhan Ayoub, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Airtel kupitia mpango wake wa huduma kwa jamii imeanza kutoa futari kwa vituo vitano vinavyolea watoto hao vya Sharif Saidi Al - Bath cha Mwanza, Al- Hidaya Children's Home cha Ilala, New Hope Family cha Mjimwema Kigamboni na Kiboa Orphanage Arusha.
 Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano Mallya (kulia) akikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali vyenye thamani ya milioni 5/- kwa wawakilishi wa kituo cha kulelea watoto waliokatika mazingira magumu cha New Hope Family cha Mjimwema Kigamboni (kutoka wa pili kushoto), Mlezi wa Kituo, Merry Stromberg, Victor Mshan, Anthony Mtatiro na Mwenyekiti wa kituo, Omari Kombe, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. 

Airtel kupitia mpango wake wa huduma kwa jamii imeanza kutoa futari kwa vituo vitano vinavyolea watoto hao vya Sharif Saidi Al - Bath cha Mwanza, Al- Hidaya Children's Home cha Ilala, Irishad Madrasah cha Mbezi kwa Msuguri na Kiboa Orphanage Arusha. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...