Afisa Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni akimuhudumia Ankal wakati alipotembelea banda la PPF katika maonyesho ya Sabasaba.
Afisa Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni akimkabidhi taarifa ya michango yake Ankal wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya 38 ya Sabasaba. Pembeni wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa PPF. Kumbukumbu za PPF zinaonesha Ankal ameanza kuchangia mfuko huo toka mwaka 1994
Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Lulu Mengele (Kulia) akimkabidhi zawadi Ankal akati alipotembelea banda la PPF katika Viwanja vya maonyesho ya 38 ya biashara yanayoendelea kufanyika Jijini Dar Es Salaam
PPF ilikuwa bado 1994 Ankal
ReplyDelete