Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard  Membe  akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe. Omar Mjenga wakisubiri muda wa  futari mjini Dubai leo. Mhe. Membe alikuea njiani  kuelekea Colombo, Sri Lanka kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola.
 Mheshimiwa Membe  akiwa na Mheshimiwa Balozi Mdogo Omar Mjenga kwenye futari.

 Mheshimiwa Membe  akiwa na Mheshimiwa Balozi Mdogo Omar Mjenga kwenye futari.
Mheshimiwa Membe pamoja na Mhe. Mjenga, wakiwa katika mazungumzo kwenye ukumbi wa mazungumzo (majlis) nyumbani kwa Balozi Mdogo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 20, 2014

    Membe kanzu imekupendeza

    ReplyDelete
  2. Nakubali, hiyo kanzu imempendeza mtani wangu Ustaadh Membe :-)

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 21, 2014

    IFTAR - RAMADHANI KARIM
    Nafikiri kuanzia leo tutampandisha
    madaraka na kumwita Mhs.AL HAJJ MEMBE.Tutalitumia vazi hili msimu wote wa kampeni 2015.Kwa hili hautokuwa na mpinzani baba wa Taifa Mwl Nyerere alilitumia vazi hili katika kampeni za kutokomeza udini na ukabila na kofia alivaa msimu wote akiwa madarakani.
    MIKIDADI-DENMARK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...